Swali: Je, inafaa kwa mke kumkatalia mume asiyeswali anapomwita kitandani?
Jibu: Ikiwa haswali ndoa hiyo ni batili. Mwanamke huyo si halali kwake.
Swali: Ikiwa haswali msikitini na mwanamke akataka kuepuka kitanda chake kwa sababu ya kumtia adabu?
Jibu: Amsikilize, amtii na amnasihi. Lakini ikiwa anaacha swalah kabisa kuiacha kwake ni ukafiri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/حكم-هجر-المراة-فراش-زوجها-الذي-لا-يصلي
- Imechapishwa: 08/10/2022
Swali: Je, inafaa kwa mke kumkatalia mume asiyeswali anapomwita kitandani?
Jibu: Ikiwa haswali ndoa hiyo ni batili. Mwanamke huyo si halali kwake.
Swali: Ikiwa haswali msikitini na mwanamke akataka kuepuka kitanda chake kwa sababu ya kumtia adabu?
Jibu: Amsikilize, amtii na amnasihi. Lakini ikiwa anaacha swalah kabisa kuiacha kwake ni ukafiri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/حكم-هجر-المراة-فراش-زوجها-الذي-لا-يصلي
Imechapishwa: 08/10/2022
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kumsusa-mume-wake-kitandani-asiyeswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)