Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kumkogesha mwanamke ambaye ni mwendawazimu ambaye yuko hai na mwanamke ambaye ni mzee ikiwa hawawezi kujikogesha wenyewe?
Jibu: Akijiaminia kutopatwa na fitina na anayemuosha akawa na nguo zake, hakuna ubaya wa hili. Ama akikhofia nafsi yake kupatwa na fitina, hapana haijuzu, sawa kwake yeye na wengine.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1827
- Imechapishwa: 22/02/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kumkogesha mwanamke ambaye ni mwendawazimu ambaye yuko hai na mwanamke ambaye ni mzee ikiwa hawawezi kujikogesha wenyewe?
Jibu: Akijiaminia kutopatwa na fitina na anayemuosha akawa na nguo zake, hakuna ubaya wa hili. Ama akikhofia nafsi yake kupatwa na fitina, hapana haijuzu, sawa kwake yeye na wengine.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1827
Imechapishwa: 22/02/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kumkogesha-mama-mzee-na-mwendawazimu-wasiojiweza/