Swali: Kuna dada anauliza kama inajuzu kwake kunyoa nywele za mguuni kwa ajili ya kujipamba?
Jibu: Tunachomnasihi aache kufanya hivyo. Kwa kuwa akishanyoa mara ya kwanza itakuwa akijishughulisha kila wakati wake kunyoa nywele za mguu wake. Ama kuhusiana na kuwa ni Haramu, sio Haramu. Lakini tunamnasihi asianze kufanya hivyo, kwa kuwa asimtaabishe kunyoa.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3050
- Imechapishwa: 22/02/2018
Swali: Kuna dada anauliza kama inajuzu kwake kunyoa nywele za mguuni kwa ajili ya kujipamba?
Jibu: Tunachomnasihi aache kufanya hivyo. Kwa kuwa akishanyoa mara ya kwanza itakuwa akijishughulisha kila wakati wake kunyoa nywele za mguu wake. Ama kuhusiana na kuwa ni Haramu, sio Haramu. Lakini tunamnasihi asianze kufanya hivyo, kwa kuwa asimtaabishe kunyoa.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3050
Imechapishwa: 22/02/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kunyoa-nywele-za-mguuni-mwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)