Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kufunga nywele tuta nyuma ya mgongo? Je, jambo hilo linaathiri swalah au hapana?
Jibu: Hili haliathiri swalah. Kuhusu kufunga tuta moja peke yake, wapo wanachuoni wenye kuonelea kuwa limechukizwa na wakasema kwamba haitakikani afunge chini ya mikia mitatu. Lakini mimi sina elimu juu ya masuala haya.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (377) http://binothaimeen.net/content/13374
- Imechapishwa: 04/10/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kufunga nywele tuta nyuma ya mgongo? Je, jambo hilo linaathiri swalah au hapana?
Jibu: Hili haliathiri swalah. Kuhusu kufunga tuta moja peke yake, wapo wanachuoni wenye kuonelea kuwa limechukizwa na wakasema kwamba haitakikani afunge chini ya mikia mitatu. Lakini mimi sina elimu juu ya masuala haya.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (377) http://binothaimeen.net/content/13374
Imechapishwa: 04/10/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kufunga-tuta-moja-la-nywele/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)