Swali: Je, mwanamke kufanya kazi ni Haramu ilihali naye amelazimika ili awalishe watoto zake na hakuna mwingine wa kuwalisha?
Jibu: Ikiwa hachanganyiki na wanaume, mudiri, tabibu au wasiokuwa hao, naye isitoshe amelazimika, akafanya kazi naye anajiaminia nafsi yake, heshima yake na Dini yake, In Shaa Allaah hakuna ubaya kwa hilo.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=729
- Imechapishwa: 23/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket