Swali: Je, mwanamke kufanya kazi ni Haramu ilihali naye amelazimika ili awalishe watoto zake na hakuna mwingine wa kuwalisha?
Jibu: Ikiwa hachanganyiki na wanaume, mudiri, tabibu au wasiokuwa hao, naye isitoshe amelazimika, akafanya kazi naye anajiaminia nafsi yake, heshima yake na Dini yake, In Shaa Allaah hakuna ubaya kwa hilo.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=729
- Imechapishwa: 23/02/2018
Swali: Je, mwanamke kufanya kazi ni Haramu ilihali naye amelazimika ili awalishe watoto zake na hakuna mwingine wa kuwalisha?
Jibu: Ikiwa hachanganyiki na wanaume, mudiri, tabibu au wasiokuwa hao, naye isitoshe amelazimika, akafanya kazi naye anajiaminia nafsi yake, heshima yake na Dini yake, In Shaa Allaah hakuna ubaya kwa hilo.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=729
Imechapishwa: 23/02/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kufanya-kazi-ili-awapatie-watoto-wake-riziki/