Swali: Ni ipi hukumu kwa ambaye hamwachi mke wake atoke isipokuwa mara moja tu kwa wiki? Je, mwanaume huyo anazingatiwa kuwa anamdhulumu?
Jibu: Ikiwa hatomwacha kabisa atoke hakuna neno. Hili ni bora kwake. Lakini akihitajia kutoka atoke hali ya kuwa ni mwenye kujiheshimu. Hakuna kinachomkataza kutoka hali ya kuwa ni mwenye kujiheshimu wakati wa haja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa ambaye hamwachi mke wake atoke isipokuwa mara moja tu kwa wiki? Je, mwanaume huyo anazingatiwa kuwa anamdhulumu?
Jibu: Ikiwa hatomwacha kabisa atoke hakuna neno. Hili ni bora kwake. Lakini akihitajia kutoka atoke hali ya kuwa ni mwenye kujiheshimu. Hakuna kinachomkataza kutoka hali ya kuwa ni mwenye kujiheshimu wakati wa haja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
Imechapishwa: 15/06/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-atoke-nje-mara-moja-kwa-wiki/