Swali: Jina la Malaak lina makosa?

Jibu: Haifai kwa mwanamke kujiita jina hilo. Apewe jina hilo mwanaume kama ambavo inafaa kwake kuitwa kwa jina la Jibriyl na Mikaaiyl.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22708/ما-حكم-التسمية-باسم-ملاك
  • Imechapishwa: 04/08/2023