Swali: Inajuzu kwa mwanaume anayemsomea Qur-aan mgonjwa kugusa mwili wa mgonjwa mwanamke kwa mkono wake?
Jibu: Haifai kwake kumgusa mwanamke. Kwa kuwa mwanamke ni ´Awrah. Anaweza kumsomea bila ya kumgusa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
- Imechapishwa: 21/11/2014
Swali: Inajuzu kwa mwanaume anayemsomea Qur-aan mgonjwa kugusa mwili wa mgonjwa mwanamke kwa mkono wake?
Jibu: Haifai kwake kumgusa mwanamke. Kwa kuwa mwanamke ni ´Awrah. Anaweza kumsomea bila ya kumgusa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
Imechapishwa: 21/11/2014
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anasomewa-ruqyah-bila-ya-kuguswa/