Swali: Wasemaje kwa mwenye kusema:
“Uchawi ni ukhurafi na ni jambo lisilokuwa na uhakika”?
Jibu: Mwenye kufanya hivi ni kafiri. Kwa kuwa Allaah Ametaja uchawi katika Qur-aan na akaubainisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Uchawi upo na ni hakika. Baadhi yake ni hakika, unamfanya mtu kuwa mgonjwa na kuua, na baadhi yake ni kiini macho (mazingaombwe). Wote ni ukafiri. Mwenye kuupinga anakuwa kafiri, kwa kuwa ameikadhibisha Qur-aan.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
- Imechapishwa: 21/11/2014
Swali: Wasemaje kwa mwenye kusema:
“Uchawi ni ukhurafi na ni jambo lisilokuwa na uhakika”?
Jibu: Mwenye kufanya hivi ni kafiri. Kwa kuwa Allaah Ametaja uchawi katika Qur-aan na akaubainisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Uchawi upo na ni hakika. Baadhi yake ni hakika, unamfanya mtu kuwa mgonjwa na kuua, na baadhi yake ni kiini macho (mazingaombwe). Wote ni ukafiri. Mwenye kuupinga anakuwa kafiri, kwa kuwa ameikadhibisha Qur-aan.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
Imechapishwa: 21/11/2014
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-anayepinga-uchawi-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)