Swali: Kuna dada ambaye amelazimika kusafiri pasi na Mahram. Ni ipi hukumu ya safari hii?
Jibu: Kanuni inasema:
“Dharurah inahalalisha vilivyokatazwa.”
Inafungamanishwa kwa kanuni nyingine isemayo:
“Dharurah inakadiriwa kwa kiwango chake.”
Kanuni hii imechukuliwa kutoka katika Aayah inayosema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
“… na ilhali ameshakubainishieni yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura navyo.” (06:119)
“Mtu mwenyewe ndiye hukadiria dharurah.”
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 292
- Imechapishwa: 04/07/2022
Swali: Kuna dada ambaye amelazimika kusafiri pasi na Mahram. Ni ipi hukumu ya safari hii?
Jibu: Kanuni inasema:
“Dharurah inahalalisha vilivyokatazwa.”
Inafungamanishwa kwa kanuni nyingine isemayo:
“Dharurah inakadiriwa kwa kiwango chake.”
Kanuni hii imechukuliwa kutoka katika Aayah inayosema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
“… na ilhali ameshakubainishieni yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura navyo.” (06:119)
“Mtu mwenyewe ndiye hukadiria dharurah.”
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 292
Imechapishwa: 04/07/2022
https://firqatunnajia.com/mwanamke-amelazimika-kusafiri-bila-mahram/