Swali: Kuna dada ambaye amelazimika kusafiri pasi na Mahram. Ni ipi hukumu ya safari hii?
Jibu: Kanuni inasema:
“Dharurah inahalalisha vilivyokatazwa.”
Inafungamanishwa kwa kanuni nyingine isemayo:
“Dharurah inakadiriwa kwa kiwango chake.”
Kanuni hii imechukuliwa kutoka katika Aayah inayosema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
“… na ilhali ameshakubainishieni yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura navyo.” (06:119)
“Mtu mwenyewe ndiye hukadiria dharurah.”
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 292
- Imechapishwa: 04/07/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)