Swali: Je, anapata dhambi yule ambaye anawaacha watoto zake wa kiume wenye umri wa miaka 13 na mfano wake wanaswali Fajr nyumbani mara nyingi?
Jibu: Ajitahidi kuwaamrisha kuswali msikitini, kuwapendeza nayo, kuwahimiza na kuandamana nao. Lakini afanye hivo kwa hekima. Siku ya kwanza aanze kwa swalah ya faradhi moja, siku nyingine faradhi mbili n.k. Ajaribu kadiri awezavyo wapende msikiti, kuandamanao nao na kuwafanyia upole.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/حكم-من-ترك-أبناءه-يصلون-في-البيت-دون-المسجد
- Imechapishwa: 11/06/2022
Swali: Je, anapata dhambi yule ambaye anawaacha watoto zake wa kiume wenye umri wa miaka 13 na mfano wake wanaswali Fajr nyumbani mara nyingi?
Jibu: Ajitahidi kuwaamrisha kuswali msikitini, kuwapendeza nayo, kuwahimiza na kuandamana nao. Lakini afanye hivo kwa hekima. Siku ya kwanza aanze kwa swalah ya faradhi moja, siku nyingine faradhi mbili n.k. Ajaribu kadiri awezavyo wapende msikiti, kuandamanao nao na kuwafanyia upole.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/حكم-من-ترك-أبناءه-يصلون-في-البيت-دون-المسجد
Imechapishwa: 11/06/2022
https://firqatunnajia.com/watoto-wadogo-wanaswali-fajr-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)