Swali: Mwanamke huyu anasema kuwa mpaka sasa hajalipa deni lake la Ramadhaan kwa miaka mingi. Ni lipi linalomlazimu hivi sasa?
Jibu: Ni lazima kwake kulipa kile kilichompita. Akisema kuwa hajui ni idadi ngapi zilizompita, tunamwambia afanye lililo salama na akadirie halafu baada ya hapo alipe kile kilichompita. Hana juu yake kulisha chakula au kutoa swadaqah kwa mujibu wa maoni yenye nguvu. Kinachomlazimu ni yeye kulipa zile siku ambazo zilizompita.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (25)
- Imechapishwa: 17/01/2019
Swali: Mwanamke huyu anasema kuwa mpaka sasa hajalipa deni lake la Ramadhaan kwa miaka mingi. Ni lipi linalomlazimu hivi sasa?
Jibu: Ni lazima kwake kulipa kile kilichompita. Akisema kuwa hajui ni idadi ngapi zilizompita, tunamwambia afanye lililo salama na akadirie halafu baada ya hapo alipe kile kilichompita. Hana juu yake kulisha chakula au kutoa swadaqah kwa mujibu wa maoni yenye nguvu. Kinachomlazimu ni yeye kulipa zile siku ambazo zilizompita.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (25)
Imechapishwa: 17/01/2019
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliacha-swawm-idadi-nyingi-na-sasa-anataka-kulipa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)