Swali: Inafaa kwa mwanafunzi ambaye anachelea machafu juu ya nafsi yake kula katika pesa ya zakaah na swadaqah ili zimsaidie kujioza mwenyewe?
Jibu: Ambaye anahitajia kuoa anapewa katika pesa ya zakaah hata kama ni mwanafunzi. Akiwa mwanafunzi yeye ana haki zaidi. Kwa sababu kuoa ni miongoni mwa mambo ya kidharura. Kama ambavo mtu anapewa zakaah kwa ajili ya matumizi, mavazi na makazi basi vivyo hivyo anapewa mtu mahari ambayo ataoa kwayo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 18/09/2020
Swali: Inafaa kwa mwanafunzi ambaye anachelea machafu juu ya nafsi yake kula katika pesa ya zakaah na swadaqah ili zimsaidie kujioza mwenyewe?
Jibu: Ambaye anahitajia kuoa anapewa katika pesa ya zakaah hata kama ni mwanafunzi. Akiwa mwanafunzi yeye ana haki zaidi. Kwa sababu kuoa ni miongoni mwa mambo ya kidharura. Kama ambavo mtu anapewa zakaah kwa ajili ya matumizi, mavazi na makazi basi vivyo hivyo anapewa mtu mahari ambayo ataoa kwayo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 18/09/2020
https://firqatunnajia.com/mwanafunzi-muhitaji-ana-haki-zaidi-ya-swadaqah-na-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)