Swali: Ni bora kutilia umuhimu kutafuta elimu kwa kusoma vitabu vya Hadiyth au Fiqh?
Jibu: Kinachotakikana ni kutilia umuhimu katika vitabu vya ´Aqiydah, kisha Hadiyth kisha Fiqh chini ya wanachuoni wanaojulikana. Mtu aanze kwa vitabu vya ´Aqiydah, na muhimu katika hilo ni Qur-aan Tukufu mpaka aweze kuifahamu ´Aqiydah juu ya Baswiyrah pamoja na kutilia umuhimu katika ´Aqiydah na Fiqh baadaye.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14576
- Imechapishwa: 21/11/2014
Swali: Ni bora kutilia umuhimu kutafuta elimu kwa kusoma vitabu vya Hadiyth au Fiqh?
Jibu: Kinachotakikana ni kutilia umuhimu katika vitabu vya ´Aqiydah, kisha Hadiyth kisha Fiqh chini ya wanachuoni wanaojulikana. Mtu aanze kwa vitabu vya ´Aqiydah, na muhimu katika hilo ni Qur-aan Tukufu mpaka aweze kuifahamu ´Aqiydah juu ya Baswiyrah pamoja na kutilia umuhimu katika ´Aqiydah na Fiqh baadaye.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14576
Imechapishwa: 21/11/2014
https://firqatunnajia.com/mwanafunzi-aanze-kusoma-somo-la-aqiydah-2/