Swali: Atangulizwe nani mbele kati ya mwanachuoni muovu au mfanya ´ibaadah mjinga?
Jibu: Mfanya ´ibaadah hana faida. Hana zaidi ya kufanya ´ibaadah peke yake. Mwanachuoni, ijapo atakuwa muovu, ukitilia shaka fatwa yake waonyeshe nayo wengine na baada ya hapo mnasihi. Waonyeshe wanazuoni wengine ili ukisanyikiwe na kheri. Usimtegemee isipokuwa baada ya kuwauliza wengine ukiwapata. Kuhusu mfanya ´ibaadah hana faida masikini.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21995/ايهما-المقدم-عالم-فاسق-ام-عابد-جاهل
- Imechapishwa: 12/10/2022
Swali: Atangulizwe nani mbele kati ya mwanachuoni muovu au mfanya ´ibaadah mjinga?
Jibu: Mfanya ´ibaadah hana faida. Hana zaidi ya kufanya ´ibaadah peke yake. Mwanachuoni, ijapo atakuwa muovu, ukitilia shaka fatwa yake waonyeshe nayo wengine na baada ya hapo mnasihi. Waonyeshe wanazuoni wengine ili ukisanyikiwe na kheri. Usimtegemee isipokuwa baada ya kuwauliza wengine ukiwapata. Kuhusu mfanya ´ibaadah hana faida masikini.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21995/ايهما-المقدم-عالم-فاسق-ام-عابد-جاهل
Imechapishwa: 12/10/2022
https://firqatunnajia.com/mwanachuoni-muovu-au-mfanya-ibaadah-mjinga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)