Swali: Mtu aliyeamini kwa moyo wake na ulimi wake lakini hakufanya matendo kwa viungo vyake?
Jibu: Hapa kuna makinzano kwa wanazuoni. Yule anayesema kuwa kuacha swalah ni ukafiri, anaona kuwa atadumishwa milele Motoni. Na yule mwenye kuona kuwa ni ukafiri mdogo, basi hukumu yake ni kama hukumu ya madhambi mengine makubwa. Kwa msemo mwingine Allaah ndiye ataamua nini cha kumfanya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25081/حكم-من-امن-بقلبه-ولسانه-ولم-يعمل-بجوارحه
- Imechapishwa: 31/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)