Swali: Mume ana haki ya kumkatalia mke kusafiri kwenda kuwatembelea ndugu zake nje ya Saudi Arabia?

Jibu: Ndio. Mke hana haki ya kusafiri isipokuwa kwa idhini yake mume. Kwa hivyo anayo haki ya kumkatalia.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
  • Imechapishwa: 29/09/2023