Swali: Kuna mwanamke ana deni la Ramadhaan. Anataka kulipa lakini mume wake amemuomba acheleweshe mpaka Sha´baan. Hata hivyo inajuzu kwake kulipa kabla ya hapo?
Jibu: Muda bado ukingali mpana. Ikiwa mume wake amemuomba kuchelewesha, acheleweshe. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alikuwa naye anatakiwa kulipa deni la Ramadhaan lakini anachelewesha mpaka Sha´baan kutokana na nafasi aliokuwa nayo kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kama ilivokuja katika Hadiyth.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–09041434.mp3
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Kuna mwanamke ana deni la Ramadhaan. Anataka kulipa lakini mume wake amemuomba acheleweshe mpaka Sha´baan. Hata hivyo inajuzu kwake kulipa kabla ya hapo?
Jibu: Muda bado ukingali mpana. Ikiwa mume wake amemuomba kuchelewesha, acheleweshe. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alikuwa naye anatakiwa kulipa deni la Ramadhaan lakini anachelewesha mpaka Sha´baan kutokana na nafasi aliokuwa nayo kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kama ilivokuja katika Hadiyth.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–09041434.mp3
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/mume-anamuomba-mke-acheleweshe-deni-la-ramadhaan/