Swali: Je, ni katika kutofanya uadilifu atapompa zawadi mmoja pasi na mwengine?
Jibu: Kinachonidhihirikia ni kwamba ni lazima kuwapa sawa baina yao katika matumizi na mfano wake.
Swali: Akioa mke wa pili na yule mke wa kwanza kishahiji naye na wa pili hajahiji kisha akasafiri na yule wa pili. Je, atalazimika kumuhijisha yule wa kwanza?
Jibu: Hainidhihirikii ya kwamba analazimika muda wa kuwa tayari ameshahiji.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23899/ما-الذي-يلزم-التسوية-فيه-بين-الزوجات
- Imechapishwa: 29/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)