449 – Nilimuuliza kuhusu kuziba pua wakati wa Ihraam.

Jibu: Salama zaidi ni kutofanya hivo.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 160
  • Imechapishwa: 30/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´