Swali: Ikiwa muadhini anaadhini kwenye kipaza sauti ageuke wakati wa kusema:
حَيَّ عَلى الصلاةِ
“Njooni katika swalah.”
na:
حَيَّ عَلى الْفَلاَحِ
“Njooni katika mafanikio.”?
Jibu: Asifanye hivo ikiwa anaadhini katika kipaza sauti. Kwa sababu inadhoofisha sauti.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/175-176)
- Imechapishwa: 12/06/2026
Swali: Ikiwa muadhini anaadhini kwenye kipaza sauti ageuke wakati wa kusema:
حَيَّ عَلى الصلاةِ
“Njooni katika swalah.”
na:
حَيَّ عَلى الْفَلاَحِ
“Njooni katika mafanikio.”?
Jibu: Asifanye hivo ikiwa anaadhini katika kipaza sauti. Kwa sababu inadhoofisha sauti.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/175-176)
Imechapishwa: 12/06/2026
https://firqatunnajia.com/muadhini-anageuza-uso-kutoka-kwenye-kipaza-sauti/