Swali: Ikiwa muadhini ataingia msikitini na kumebaki dakika tano au mbili muda wa adhaana asimame kisha ndio aadhini?
Jibu: Akiswali basi ni bora zaidi, akiswali Rak´ah mbili basi ni bora zaidi. Swalah ya mamkizi ya msikiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28512/ما-يفعل-الموذن-لو-دخل-قبل-وقت-الاذان
- Imechapishwa: 24/04/2025
Swali: Ikiwa muadhini ataingia msikitini na kumebaki dakika tano au mbili muda wa adhaana asimame kisha ndio aadhini?
Jibu: Akiswali basi ni bora zaidi, akiswali Rak´ah mbili basi ni bora zaidi. Swalah ya mamkizi ya msikiti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28512/ما-يفعل-الموذن-لو-دخل-قبل-وقت-الاذان
Imechapishwa: 24/04/2025
https://firqatunnajia.com/muadhini-ameingia-msikitini-dakika-2-5-kabla-ya-muda-wa-adhaana/