Swali: Je, kumethibiti kitu kuhusu kuonekana kwa Allaah katika ndoto kwa namna ya kuhisi?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona katika Hadiyth ya kuota. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona katika ndoto. Ibn Rajab (Rahimahu Allaah Ta´ala) ameandika kitabu kuhusu jambo hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31383/هل-راى-النبي-ربه-في-المنام
- Imechapishwa: 23/10/2025
Swali: Je, kumethibiti kitu kuhusu kuonekana kwa Allaah katika ndoto kwa namna ya kuhisi?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona katika Hadiyth ya kuota. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona katika ndoto. Ibn Rajab (Rahimahu Allaah Ta´ala) ameandika kitabu kuhusu jambo hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31383/هل-راى-النبي-ربه-في-المنام
Imechapishwa: 23/10/2025
https://firqatunnajia.com/mtume-alimuona-allaah-usingizini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
