Swali: Mwenye kumuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) usingizini akiwa mfupi au mweusi. Vipi hilo litawezekana ilihali Hadiyth inasema:
“Atakayeniona basi ameniona kweli. Kwani hakika shaytwaan hawezi kujifananisha na mimi.”?
Jibu: “Atakayeniona… “
bi maana atakayemuona katika maumbile yake yaliyothibiti katika Hadiyth. Haina maana yule atakayemuona katika maumbile yanayoenda kinyume. Yule atakayemuona katika maumbile yanayoenda kinyume basi huyo siye.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 26/03/2018
Swali: Mwenye kumuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) usingizini akiwa mfupi au mweusi. Vipi hilo litawezekana ilihali Hadiyth inasema:
“Atakayeniona basi ameniona kweli. Kwani hakika shaytwaan hawezi kujifananisha na mimi.”?
Jibu: “Atakayeniona… “
bi maana atakayemuona katika maumbile yake yaliyothibiti katika Hadiyth. Haina maana yule atakayemuona katika maumbile yanayoenda kinyume. Yule atakayemuona katika maumbile yanayoenda kinyume basi huyo siye.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 26/03/2018
https://firqatunnajia.com/mtume-akiwa-mwafrika-na-mfupi-ndotoni-kweli-ndiye/