Swali: Katika riwaya iliyopokelewa na Abu Daawuud imekuja kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuamuru Bilaal ambapo akakimu na akaswali kile kilichopungua?
Jibu: Riwaya mashuhuri kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa al-Bukhaariy na Muslim ni kwamba alianza swalah bila ya kukimu.
Mwanafunzi: Ikiwa upokezi huu umesihi basi utakuwa ni dhaifu?
Ibn Baaz: Ni jambo lenye kuhitaji kuchunguzwa. Lililo karibu zaidi na sahihi – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kwamba si Swahiyh na kwamba ni dhaifu kutoka kwa baadhi ya wapokezi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27487/هل-تقام-الصلاة-مجددا-لصلاة-ما-نقص-سهوا
- Imechapishwa: 10/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)