Swali: Wakati mtu anapoenda dukani mtu anaona maovu mengi. Tuchukue msimamo gani juu yake? Je, tuwakemee?
Jibu: Unajua jibu:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu, basi ayakemee kwa mkono wake. Asipoweza, afanye hivo kwa ulimi wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”[1]
Swali: Ikiwa mtu anaweza kukemea kwa mdomo wake. Je, amkemee kila anayemuona njiani wakati anapoenda dukani?
Jibu: Unakanyaga maji. Jawabu ni lilelile:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu, basi ayakemee kwa mkono wake. Asipoweza, afanye hivo kwa ulimi wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”
Je, anaweza kukemea kila dhambi anayoiona njiani? Ima anaweza kufanya hivo au hawezi. Jawabu ni lilelile.
[1] Ameipokea Muslim (78), at-Tirmidhiy (2172), an-Nasaa´iy (5008) na Ibn Maajah (1275).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Raabigh (2)
- Imechapishwa: 22/05/2021
Swali: Wakati mtu anapoenda dukani mtu anaona maovu mengi. Tuchukue msimamo gani juu yake? Je, tuwakemee?
Jibu: Unajua jibu:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu, basi ayakemee kwa mkono wake. Asipoweza, afanye hivo kwa ulimi wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”[1]
Swali: Ikiwa mtu anaweza kukemea kwa mdomo wake. Je, amkemee kila anayemuona njiani wakati anapoenda dukani?
Jibu: Unakanyaga maji. Jawabu ni lilelile:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu, basi ayakemee kwa mkono wake. Asipoweza, afanye hivo kwa ulimi wake. Asipoweza, basi afanye hivo kwa moyo wake – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”
Je, anaweza kukemea kila dhambi anayoiona njiani? Ima anaweza kufanya hivo au hawezi. Jawabu ni lilelile.
[1] Ameipokea Muslim (78), at-Tirmidhiy (2172), an-Nasaa´iy (5008) na Ibn Maajah (1275).
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Raabigh (2)
Imechapishwa: 22/05/2021
https://firqatunnajia.com/mtu-kukemea-maovu-njiani-anapokwenda-dukani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket