Swali 646: Mtu aliyeweka nadhiri – kama vile kuchinja – je, anaruhusiwa kula katika nadhiri yake?
Jibu: Inategemea nia yake.
Swali 647: Vipi ikiwa haikujulikana nia yake?
Jibu: Kwa ajili ya mafukara. Huu ndio msingi na wala asile chochote.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 234
- Imechapishwa: 20/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 646: Mtu aliyeweka nadhiri – kama vile kuchinja – je, anaruhusiwa kula katika nadhiri yake?
Jibu: Inategemea nia yake.
Swali 647: Vipi ikiwa haikujulikana nia yake?
Jibu: Kwa ajili ya mafukara. Huu ndio msingi na wala asile chochote.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 234
Imechapishwa: 20/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mtu-anaruhusiwa-kula-katika-nadhiri-yake-ya-kuchinjwa/