650 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu aliyeweza kutekeleza sehemu ya kafara, lakini hakuweza sehemu iliyobaki?
Jibu: Anaweza kutengeneza kafara ambapo akawalisha watu watano na kuwavisha wengine watano kwa mfano.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 234
- Imechapishwa: 20/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
650 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu aliyeweza kutekeleza sehemu ya kafara, lakini hakuweza sehemu iliyobaki?
Jibu: Anaweza kutengeneza kafara ambapo akawalisha watu watano na kuwavisha wengine watano kwa mfano.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 234
Imechapishwa: 20/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ameweza-kutimiza-tu-sehemu-ya-kafara-yake/