Swali: Kuna mtu yuko na pesa aliyoihifadhi inayotokana na madawa ya kulevya. Azifanyishe nini pesa hizo baada ya kutubia?
Jibu: Atajikwamua nazo kwa kuzigawa kwa watu wahitaji. Hata hivyo anafanya hivo kwa lengo la kujinasua na si kwa lengo la kutoa swadaqah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 11/02/2022
Swali: Kuna mtu yuko na pesa aliyoihifadhi inayotokana na madawa ya kulevya. Azifanyishe nini pesa hizo baada ya kutubia?
Jibu: Atajikwamua nazo kwa kuzigawa kwa watu wahitaji. Hata hivyo anafanya hivo kwa lengo la kujinasua na si kwa lengo la kutoa swadaqah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 11/02/2022
https://firqatunnajia.com/mtu-anafanya-nini-akiwa-na-pesa-za-madawa-ya-kulevya-asizozitaka/