Mtu anafanya nini akiwa na pesa za ribaa asizozitaka?

Swali: Mimi nina pesa za ribaa. Ni vipi nitajikwamua nazo? Je, inafaa nikajenga nazo msikiti?

Jibu: Usijenge nazo msikiti. Utajikwamua nazo kwa kujizigawa kwa watu wenye kuhitaji. Unafanya hivo kwa ajili ya kujinasua na si kwa ajili ya kutoa swadaqah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
  • Imechapishwa: 11/02/2022