Swali: Niliswali swalah za faradhi tatu bila ya wudhuu´ kwa kusahau. Je, swalah zangu ni sahihi?
Jibu: Swalah zako ni sahihi. Isipokuwa ikiwa kama umekumbuka na wakati haujatoka, kwa mfano umeswali swalah ya Fajr bila ya wudhuu´, halafu ukakumbuka kabla ya jua kuchomoza, utatakiwa wende na utawadhe kisha uswali. Ama ikiwa ni baada ya kuchomoza kwa jua, haikulazimu kuilipa.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2197
- Imechapishwa: 03/05/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket