Swali: Niliswali swalah za faradhi tatu bila ya wudhuu´ kwa kusahau. Je, swalah zangu ni sahihi?
Jibu: Swalah zako ni sahihi. Isipokuwa ikiwa kama umekumbuka na wakati haujatoka, kwa mfano umeswali swalah ya Fajr bila ya wudhuu´, halafu ukakumbuka kabla ya jua kuchomoza, utatakiwa wende na utawadhe kisha uswali. Ama ikiwa ni baada ya kuchomoza kwa jua, haikulazimu kuilipa.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2197
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Niliswali swalah za faradhi tatu bila ya wudhuu´ kwa kusahau. Je, swalah zangu ni sahihi?
Jibu: Swalah zako ni sahihi. Isipokuwa ikiwa kama umekumbuka na wakati haujatoka, kwa mfano umeswali swalah ya Fajr bila ya wudhuu´, halafu ukakumbuka kabla ya jua kuchomoza, utatakiwa wende na utawadhe kisha uswali. Ama ikiwa ni baada ya kuchomoza kwa jua, haikulazimu kuilipa.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2197
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/mtu-ameswali-pasina-wudhuu-kisha-akakumbuka/