Swali: Mtu ambaye si msomi akisoma Qur-aan na kuona faida awaeleze wengine au ni katika kuzungumza juu ya Allaah pasi na elimu?
Jibu: Ikiwa ni katika wanachuoni wenye kustahiki aeleze kuwa Aayah inaashiria hili na lile. Na ikiwa ni mtu ambaye si msomi ananufaika kwa kiasi na Allaah atakavyomwongoza. Hata hivyo asiwaeleze watu kwa sababu sio mwanachuoni. Anaweza kuwa amekosea.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)