Swali: Je, inajuzu kwa msomaji Ruqyah kumnyonga mwanamke wakati wa haja akisitiri shingo yake na yote haya yanafanyika mbele ya Mahram wake?
Jibu: Jini linamuudhi. Na wewe unamuudhi zaidi na kumyonga na kuyaweka maisha yake khatarini? Msomee Qur-aan. Hili linatosha. Jini litaunguzwa na kutoka lipende lisipendi. Usimpige na wala usimnyonge.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Je, inajuzu kwa msomaji Ruqyah kumnyonga mwanamke wakati wa haja akisitiri shingo yake na yote haya yanafanyika mbele ya Mahram wake?
Jibu: Jini linamuudhi. Na wewe unamuudhi zaidi na kumyonga na kuyaweka maisha yake khatarini? Msomee Qur-aan. Hili linatosha. Jini litaunguzwa na kutoka lipende lisipendi. Usimpige na wala usimnyonge.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/kumkaba-mtu-shingoni-wakati-wa-ruqyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)