Swali: Mtoto aliyekomaa kiasi cha kutambua mambo akiwa juu ya miaka saba, ikiwa anajua mambo ya wanawake – je, azuiwe kuingia?
Jibu: Hili linarejea kwenye maslahi na linarejea kwa mlezi. Qur-aan imesema:
وَإِذَا بَلَغَ الْأَطْفَالُ مِنكُمُ الْحُلُمَ فَلْيَسْتَأْذِنُوا كَمَا اسْتَأْذَنَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ
“Matoto miongoni mwenu watakapofikia baleghe, basi waombe idhini kama walivyoomba idhini wale wa kabla yao.”[1]
Hiyo ni baada ya kufikia baleghe. Lakini kabla ya hapo, anazuiwa katika hali tatu ambazo Allaah amezibainisha katika Suurah ”an-Nuur.”
[1] 24:59
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31689/ما-حكم-دخول-الصبي-فوق-سبع-سنين-على-النساء
- Imechapishwa: 14/11/2025
Swali: Mtoto aliyekomaa kiasi cha kutambua mambo akiwa juu ya miaka saba, ikiwa anajua mambo ya wanawake – je, azuiwe kuingia?
Jibu: Hili linarejea kwenye maslahi na linarejea kwa mlezi. Qur-aan imesema:
وَإِذَا بَلَغَ الْأَطْفَالُ مِنكُمُ الْحُلُمَ فَلْيَسْتَأْذِنُوا كَمَا اسْتَأْذَنَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ
“Matoto miongoni mwenu watakapofikia baleghe, basi waombe idhini kama walivyoomba idhini wale wa kabla yao.”[1]
Hiyo ni baada ya kufikia baleghe. Lakini kabla ya hapo, anazuiwa katika hali tatu ambazo Allaah amezibainisha katika Suurah ”an-Nuur.”
[1] 24:59
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31689/ما-حكم-دخول-الصبي-فوق-سبع-سنين-على-النساء
Imechapishwa: 14/11/2025
https://firqatunnajia.com/mtoto-wa-miaka-zaidi-ya-7-kuingia-walipo-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
