Swali: Je, inajuzu kwa mtoto kuhiji kwa niaba ya mtu ambaye kishabaleghe? Kwa maana ya kwamba mtu akamchukua mwanawe kisha akafanya hijjah ya mwanawe iwe kwa niaba ya baba yake?
Jibu: Hapana, hapana, mtoto anahiji kwa niaba yake mwenyewe hahiji kwa niaba ya mtu mwingine hadi kwanza afanye ile hajj ya faradhi.
Swali: Vipi ikiwa tayari kabla ya hapo ameshafanya hajj?
Jibu: Mpaka kwanza atekeleze hajj ya faradhi na si kabla ya hapo. Mtoto hana faradhi ya hajj hadi abaleghe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27023/هل-يجوز-للصبي-ان-يحج-عن-البالغ
- Imechapishwa: 21/03/2025
Swali: Je, inajuzu kwa mtoto kuhiji kwa niaba ya mtu ambaye kishabaleghe? Kwa maana ya kwamba mtu akamchukua mwanawe kisha akafanya hijjah ya mwanawe iwe kwa niaba ya baba yake?
Jibu: Hapana, hapana, mtoto anahiji kwa niaba yake mwenyewe hahiji kwa niaba ya mtu mwingine hadi kwanza afanye ile hajj ya faradhi.
Swali: Vipi ikiwa tayari kabla ya hapo ameshafanya hajj?
Jibu: Mpaka kwanza atekeleze hajj ya faradhi na si kabla ya hapo. Mtoto hana faradhi ya hajj hadi abaleghe.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27023/هل-يجوز-للصبي-ان-يحج-عن-البالغ
Imechapishwa: 21/03/2025
https://firqatunnajia.com/mtoto-kuhiji-kwa-niaba-ya-aliyebaleghe/