Swali: Nina mtoto asiyeswali wala kufunga na umri wake ana miaka 11 na anatutishia kutuua mpaka tumuozeshe ilihali hatuna uwezo wa jambo hilo. Nifanye nini?
Jibu: Muombee kwa Allaah amwongoze. Kuhusu kumuozesha, ikiwa huwezi, basi itambulike kuwa Allaah haikalifishi nafsi yoyote isipokuwa kadri na uwezo wake. Unaweza vilevile kuwasiliana na jumuiya zinazosaidia watu wasiokuwa na uwezo wa kulipa mahari wakamsaidia juu ya jambo la kuoa. Zipo Makkah, ar-Riyaadh na kwenginepo. Hawatokufanyia mapungufu kama wanavofanya kwa wengine.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
- Imechapishwa: 24/10/2022
Swali: Nina mtoto asiyeswali wala kufunga na umri wake ana miaka 11 na anatutishia kutuua mpaka tumuozeshe ilihali hatuna uwezo wa jambo hilo. Nifanye nini?
Jibu: Muombee kwa Allaah amwongoze. Kuhusu kumuozesha, ikiwa huwezi, basi itambulike kuwa Allaah haikalifishi nafsi yoyote isipokuwa kadri na uwezo wake. Unaweza vilevile kuwasiliana na jumuiya zinazosaidia watu wasiokuwa na uwezo wa kulipa mahari wakamsaidia juu ya jambo la kuoa. Zipo Makkah, ar-Riyaadh na kwenginepo. Hawatokufanyia mapungufu kama wanavofanya kwa wengine.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
Imechapishwa: 24/10/2022
https://firqatunnajia.com/mtoto-anawatishia-wazazi-wasipomuoza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)