Swali: Vipi tutatangamana na watoto wadogo ambao wanadumu kwa kuuliza Sifa za Allaah (Subhaanahu wa Ya´ala)?
Jibu: Wafunze kwa ufupi. Usiingie kwa undani sana. Waeleze ni nini maana ya sifa na ni nini maana ya jina na fanya hivo kwa kufupisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Vipi tutatangamana na watoto wadogo ambao wanadumu kwa kuuliza Sifa za Allaah (Subhaanahu wa Ya´ala)?
Jibu: Wafunze kwa ufupi. Usiingie kwa undani sana. Waeleze ni nini maana ya sifa na ni nini maana ya jina na fanya hivo kwa kufupisha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/mtoto-anauliza-juu-ya-sifa-za-allaah/