Swali: Ni ipi hukumu ya kuwaita baadhi ya watenda maasi “mzinzi”, “muovu” na “mwehu”?
Jibu: Haijuzu kuwafedhehi watu kwa maasi. Ni wajibu kwake kuwanasihi na kuwasitiri:
“Mwenye kumsitiri muislamu, basi Allaah naye atamsitiri duniani na Aakhirah.”
Pamoja na hivyo aendelee kumlingania na kumnasihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 17/11/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket