Swali: Ni ipi hukumu ya kuwaita baadhi ya watenda maasi “mzinzi”, “muovu” na “mwehu”?
Jibu: Haijuzu kuwafedhehi watu kwa maasi. Ni wajibu kwake kuwanasihi na kuwasitiri:
“Mwenye kumsitiri muislamu, basi Allaah naye atamsitiri duniani na Aakhirah.”
Pamoja na hivyo aendelee kumlingania na kumnasihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 17/11/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwaita baadhi ya watenda maasi “mzinzi”, “muovu” na “mwehu”?
Jibu: Haijuzu kuwafedhehi watu kwa maasi. Ni wajibu kwake kuwanasihi na kuwasitiri:
“Mwenye kumsitiri muislamu, basi Allaah naye atamsitiri duniani na Aakhirah.”
Pamoja na hivyo aendelee kumlingania na kumnasihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
Imechapishwa: 17/11/2018
https://firqatunnajia.com/mtenda-dhambi-anatakiwa-kusitiriwa-na-sio-kufedheheshwa/