Swali: Je, mtu kwenye Sujuud awaombee du´aa wazazi wake na watoto wake?
Jibu: Aombe kile kitachomuwepesikia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mja anakuwa karibu zaidi na Mola wake anapokuwa kwenye Sujuud. Hivyo basi, aombe du´aa kwa wingi.”
Ajiombee mwenyewe, wazazi wake, waislamu, waalimu zake, marafiki zake na wale waliomtendea wema.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22635/حكم-الدعاء-في-السجود-للوالدين-والذرية
- Imechapishwa: 14/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)