Swali: Baadhi ya waswaliji katika msikiti Mtakatifu hawaielekei Ka´bah ipasavyo licha ya kwamba wana uwezo wa kufanya hivo. Ni ipi hukumu ya swalah zao?
Jibu: Swalah zao ni batili. Kama wanaweza kuiona Ka´bah basi wanalazimika kuielekea ipasavyo. Serikali – Allaah awajaze kheri – wameweka alama ya misitari ya mwelekeo sahihi. Kwa hivyo mtu akielekea misitari hii inakuwa ni mwelekeo sahihi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/412)
- Imechapishwa: 01/05/2026
Swali: Baadhi ya waswaliji katika msikiti Mtakatifu hawaielekei Ka´bah ipasavyo licha ya kwamba wana uwezo wa kufanya hivo. Ni ipi hukumu ya swalah zao?
Jibu: Swalah zao ni batili. Kama wanaweza kuiona Ka´bah basi wanalazimika kuielekea ipasavyo. Serikali – Allaah awajaze kheri – wameweka alama ya misitari ya mwelekeo sahihi. Kwa hivyo mtu akielekea misitari hii inakuwa ni mwelekeo sahihi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/412)
Imechapishwa: 01/05/2026
https://firqatunnajia.com/mswaliji-haram-hakuielekea-kabah-ipasavyo/