Swali: Je, inafaa kwa muislamu asiyekuwa mwarabu, ambaye anataka kumuomba Mola wake katika swalah ya faradhi, kuomba kwa lugha yake?
Jibu: Ndio, aombe kwa lugha yake. Haimtatizi Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 02/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)