Swali: Hadiyth ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) inayosema:
“Ambaye anasoma Qur-aan na inampa tabu… “
Jibu: Anapata thawabu mara mbili. Ina nini? Maana yake ni kwamba baadhi ya herufi zinampa tabu. Hata hivyo anajitahidi mpaka ajifunze. Hasemi kuwa hajui au si msomi. Anasoma, anajifunza, anasubiri, anawauliza ndugu zake na kadhalika. Mtu huyu anapata thawabu mara mbili; ujira wa kwanza ni kisomo na ujira mwingine ni wa kujitahidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23409/معنى-الذي-يقرا-القران-وهو-عليه-شاق
- Imechapishwa: 13/01/2024
Swali: Hadiyth ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) inayosema:
“Ambaye anasoma Qur-aan na inampa tabu… “
Jibu: Anapata thawabu mara mbili. Ina nini? Maana yake ni kwamba baadhi ya herufi zinampa tabu. Hata hivyo anajitahidi mpaka ajifunze. Hasemi kuwa hajui au si msomi. Anasoma, anajifunza, anasubiri, anawauliza ndugu zake na kadhalika. Mtu huyu anapata thawabu mara mbili; ujira wa kwanza ni kisomo na ujira mwingine ni wa kujitahidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23409/معنى-الذي-يقرا-القران-وهو-عليه-شاق
Imechapishwa: 13/01/2024
https://firqatunnajia.com/msomaji-qur-aan-anayepata-thawabu-mara-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)