Swali: Wiki iliopita kajitokeza muftiy wa Ibaadhiyyah kwenye chaneli moja inayoitwa ´Islaamiyyah` na akawa anarusha I´tiqaad zake kati ya watu. Je, una nasaha zozote za kuwapa wasimamizi wa chaneli kama hizi?
Jibu: Msichukue fataawaa zinazokwenda kinyume na Shari´ah na fataawaa za wazushi, wajinga na wenye kujifanya ni wanachuoni. Msizichukue. Msitazame chaneli hizi. Msizitazame.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
- Imechapishwa: 22/12/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)