Swali: Mtu ambaye anamficha mwenye kuingiza madawa ya kulevya kimagendo, mtu wa Bid´ah, Khaarijiy au anayetafutwa anaingia katika maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Laana ya Allaah iwe juu ya yule ambaye anamlinda mzushi.”?[1]
Jibu: Halina shaka. Hawa ni watu wa matendo ya jinai. Wanawashambulia watu. Haijuzu, kuwanyamazia, kuwatetea, kuwaficha kwenye majumba yao na mfano wa hayo au kuwasitiri. Haijuzu.
[1] Muslim (1978).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)