Swali: Mtu ambaye anamficha mwenye kuingiza madawa ya kulevya kimagendo, mtu wa Bid´ah, Khaarijiy au anayetafutwa anaingia katika maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Laana ya Allaah iwe juu ya yule ambaye anamlinda mzushi.”?[1]
Jibu: Halina shaka. Hawa ni watu wa matendo ya jinai. Wanawashambulia watu. Haijuzu, kuwanyamazia, kuwatetea, kuwaficha kwenye majumba yao na mfano wa hayo au kuwasitiri. Haijuzu.
[1] Muslim (1978).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Mtu ambaye anamficha mwenye kuingiza madawa ya kulevya kimagendo, mtu wa Bid´ah, Khaarijiy au anayetafutwa anaingia katika maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Laana ya Allaah iwe juu ya yule ambaye anamlinda mzushi.”?[1]
Jibu: Halina shaka. Hawa ni watu wa matendo ya jinai. Wanawashambulia watu. Haijuzu, kuwanyamazia, kuwatetea, kuwaficha kwenye majumba yao na mfano wa hayo au kuwasitiri. Haijuzu.
[1] Muslim (1978).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/msimamo-wako-kwa-wenye-kuingiza-ndani-ya-nchi-muhadarati-na-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket