Swali: Kaka yangu ana mazowea ya kuwatukana watawala na viongozi. Je, nimkate? Mtu ende naye kivipi kwa mujibu wa Shari´ah?
Jibu: Mbainishie. Mbainishie ya kwamba haijuzu na ni madhehebu ya Khawaarij. Haya ni madhehebu ya Khawaarij. Linasababisha fitina kati ya Waislamu. Usifanye hivi. Ima apokee [nasaha] au achana naye na jitenge naye mbali ili asikuathiri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)