Swali: Kuna mwanamke kutoka Uingereza anasema kuwa mama na dada yake wanaishi mbali na mji wake. Je, inajuzu wakalala kwenye chumba chao maalum wakati wanapotutembelea? Mume wake anasema kuwa haijuzu na ni mchanganyiko usiotakikana.
Jibu: Ni mchanganyiko kati ya wanawake. Inajuzu. Lililo haramu ni mchanganyiko wa wanaume na wanawake ambao sio Mahaarim. Hakuna tatizo mchanganyiko wa wanawake kati yao. Sio haramu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
Swali: Kuna mwanamke kutoka Uingereza anasema kuwa mama na dada yake wanaishi mbali na mji wake. Je, inajuzu wakalala kwenye chumba chao maalum wakati wanapotutembelea? Mume wake anasema kuwa haijuzu na ni mchanganyiko usiotakikana.
Jibu: Ni mchanganyiko kati ya wanawake. Inajuzu. Lililo haramu ni mchanganyiko wa wanaume na wanawake ambao sio Mahaarim. Hakuna tatizo mchanganyiko wa wanawake kati yao. Sio haramu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
https://firqatunnajia.com/mama-wa-mke-na-dada-yake-wanalala-kwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)