Swali: Watoto washike msimamo upi kwa baba yao ambaye anawaudhi sana kwa maneno na matendo?
Jibu: Wawe na subira kwake. Ni juu yao wawe na subira kwake na wamtendee wema. Huu ndio wajibu wao.
Pengine nyinyi ndio mnamkosea. Pengine nyinyi ndio mnamvulia adabu na matokeo yake ndio anawakulia mkavu kwa ukosefu wenu wa adabu na kuacha swalah na hamtaki kuambiwa lolote. Ikiwa hali ni namna hii basi nyinyi ni wenye kukosea na yeye ndiye mwenye kupatia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (64) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-02.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Watoto washike msimamo upi kwa baba yao ambaye anawaudhi sana kwa maneno na matendo?
Jibu: Wawe na subira kwake. Ni juu yao wawe na subira kwake na wamtendee wema. Huu ndio wajibu wao.
Pengine nyinyi ndio mnamkosea. Pengine nyinyi ndio mnamvulia adabu na matokeo yake ndio anawakulia mkavu kwa ukosefu wenu wa adabu na kuacha swalah na hamtaki kuambiwa lolote. Ikiwa hali ni namna hii basi nyinyi ni wenye kukosea na yeye ndiye mwenye kupatia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (64) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-02.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/msimamo-kwa-mzazi-mkorofi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)